Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 03 Desemba, 2016 amefanya uteuzi wa Mabalozi 15 ili kujaza nafasi zilizo wazi katika Balozi za Tanzania zilizopo katika nchi mbalimbali.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa Mabalozi hao wameteuliwa kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika vituo vifuatavyo; you can click here
- Beijing - China
- Paris - Ufaransa
- Brussels - Makao Makuu ya Jumuiya ya Nchi za Ulaya
- Muscat - Oman
- Rome - Italy
- New Delhi - India
- Pretoria - Afrika ya Kusini
- Nairobi - Kenya
- Brasilia - Brazil
- Maputo - Msumbiji
- Kinshasa - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- Kampala - Uganda
- Abuja - Nigeria
- Moroni - Comoro
- Geneva - Umoja wa Mataifa
Orodha kamili ya Mabalozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo; click here to continue reading http://ikulu.go.tz/index.php/media/press_details/3426
No comments:
Post a Comment