Wednesday 30 November 2016

Wanafunzi 238 wakosa nafasi ya kidato cha kwanza KATAVI

Wanafunzi 238 kati ya 6234 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu, wamekosa nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2017 kufuatia uhaba  wa vyumba vya madarasa unaoikabili halmashauri  hiyo.

Mkoa wa KATAVI umeshika nafasi ya Tatu Kitaifa kwa kufaulisha wanafunzi wa darasa la Saba kwa mwaka huu.

Kaimu  katibu  tawala Mkoa AWARIYWA NNKO   amesema jumla ya wanafuzni 5970  wamechuguliwa 

Kwa upande  wake afisa elimu mkoa wa  katavi ERNEST HINJU amesema  mafanikio  hayo  yanapaswa  kuigwa  na mikoa  mingine.

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews